Method Mwanjali beki wa Simba SC akanidhiwa kitambaa cha unahodha mkuu wa Simba SC akisaidiwa na Mohamedi Hussein ' Zimbwe jr ' . Hii ina maana rasmi Jonasi Mkude amevuliwa kitambaa hicho na atabaki chini ya uongozi huo mpya . Kwa zaidi misimu mitatu Jonasi Mkude alikuwa nahodha wa klabu hiyo . Bado hazijaelezwa kwa kina sababu za mabadiliko hayo ingawa taarifa za awali zinasema ni mabadiliko ya kawaida.

Comments

Popular posts from this blog

FAIDA ZA VITAMIN C MWILINI

VYAKULA NA MATUNDA VINAVYOONGEZA NGUVU ZA KIUME

MATATIZO SUGU YA KOMPYUTA ,MBINU ZA KUONDOA TATIZO