Samatta Ajibu mapigo ya Rooney

Samatta aibeba Genk ikitoka sare na Everton 22nd July 2017 Mbwana Samatta ameibeba KRC Genk kwa kuifungia bao la kusawazisha latika mchezo wa kirafiki dhidi ya Everton uliomalizika kwa sare ya bao 1-1. Samatta alifunga bao hilo kwenye dakika ya 55 akitumia uzembe wa walinzi wa Everton. Wayne Rooney aliifungia Everton bao la kuongoza

Comments

Popular posts from this blog

FAIDA ZA VITAMIN C MWILINI

VYAKULA NA MATUNDA VINAVYOONGEZA NGUVU ZA KIUME

MATATIZO SUGU YA KOMPYUTA ,MBINU ZA KUONDOA TATIZO