Posts

FEATURED

Image
Bondia Mtanzania kutokea Tanga Hassan Mwakinyo amemshinda muargentina Gonzelan kwa KO kunako round ya 5 pambano limefanyika jijini Nairobi ambalo lilkuwa sio la kugombania mkanda wowote Heshima kwa Wadigo na Watanznia kwa Ujumla Kesho ni TANZANIA VS UGANDA KUFUZU AFCON KILA LA HERI TANZANIA

SHERIA 17 ZA MPIRA WA MIGUU

ZIFAHAMU SHERIA 17 ZA MPIRA WA MIGUU . 1. UWANJA Kwa kawaida uwanja wa mpira Wa miguu huwa na Urefu Wa mita 100 - 120 na Upana Wa mita 50 - 60 . Kwa kawaida Uwanja Wa mpira Wa miguu Una alama za mistari ambazo ni pamoja na - Mstari mrefu pembeni mwa Uwanja Unaoashiria mwisho Wa Uwanja . - Mstari mrefu Wa Katikati Unaogawa Uwanja katika pande 2 Zilizolingana .katikati ya Uwanja kuna mduara wenye nusu kipenyo cha mita 9.15. - Mstari mrefu Upande Wa goli Unaoashiria mwisho Wa Uwanja upande Wa goli . - Pia kuna nusu duara katika makutania ya Mstari Wa pembeni na Mstari Wa goli ambapo huitwa Kona . 2. MPIRA Mpira Wa miguu unaweza kutengenezwa kwa kutumia Ngozi , plastiki , au makunzi mengine yanayofaa . Kwa kawaida mpira Wa miguu huwa na kipenyo cha sm 68 - 70 na Uzito Wa gramu 410 - 450 na Ujazo Wa 1.1 - 1.6 . - Utofauti Wa Kipenyo na Uzito Wa mpira Wa miguu hutegemea Uwezo ama rika la mchezaji au watumiaji . 3. IDADI YA WACHEZAJI Mpira Wa miguu huchezwa na wachezaji 22...

FAHAMU JINSI YA KUFUTA UJUMBE ULIOKOSEA KUTUMA WHATSAPP

Ili kuweza kufuta ujumbe ulioutuma kimakosa inabidi uwe una programu ya WhatsApp iliyoboreshwa (Updated) Baada ya kutuma ujumbe kimakosa, bonyeza na shikilia kwa muda (Press and hold) ujumbe huo, kisha nenda kwenye alama ya kufuta (delete) Utapata machaguo matatu. Chagua ‘delete for everyone’ Baada ya kufuta ujumbe huo mpokeaji, iwe ni binafsi ama kundi la WhatsApp atapata taarifa kuwa ujumbe uliotumwa umefutwa na hatoweza kuusoma (This Message was recalled). ## WhatsApp wameamua kuepusha ajali nyingi zisizo tarajiwa.

MADHARA YA CHIPSI KWA MJAMZITO

utafiti wasema viazi vya kukaangwa vinachangia maradhi ya kisukari kwa wanawake wajawazito Ulaji wa mara kwa mara wa viazi, bila kujali kama ni vya kuchemshwa au vya kukaangwa ama chips, unaweza kuongeza uwezekano wa mwanamke kuwa katika hatari ya kupata maradhi ya kisukari wakati wa ujauzito, wameeleza watafiti wa Marekani. Hii labda ni kwa sababu wanga uliomo katika viazi unaweza kusababisha kuongezeka kwa viwango vya sukari zaidi, wanasema. mwanamke mjamzitoHaki miliki ya pichaPA Image caption Wanawake wajawazito watakiwa kupunguza ulaji wa viazi vya kukaangwa(chips) kuepuka ugonjwa wa kisukari Utafiti wao ulihusisha wanawake wajawazito zaidi ya 21,000. Lakini watafiti wa Uingereza wanasema ushahidi huo una mapungufu na kuongeza kuwa watu wengi wanahitaji kula zaidi vya wanga ili kupata nyuzi nyuzi, pamoja na matunda na mboga Utafiti huo wa BMJ unahusu ulaji wa viazi hadi kiwango cha kuwa na uwezekano wa hatari ya kuugua kisukari. MbogaHaki miliki ya pichaAP Image caption Ulaji wa ...

VYAKULA NA MATUNDA VINAVYOONGEZA NGUVU ZA KIUME

Image
Mwanaume 1 kati ya 3 wana matatizo ya nguvu za kiume – hii ni kulingana na utafiti uliofanyika. Upungufu wa nguvu za kiume unasababishwa na mambo mengi ikiwemo ukosefu wa virutubisho muhimu mwilini. Ni jambo linaloweza kupata ufumbuzi kwa urahisi kama utazingatia kula vizuri na kufanya mazoezi. Ili kuongeza stamina kwenye mapenzi si lazima kutumia madawa makali kama viagra au vilevi vikali. Madawa na pombe hukupa nguvu zinazoisha kwa muda mfupi, lakini hukuletea madhara makubwa yatakayokuandama kwa muda mrefu zaidi. Ili kupata suluhishi la uhakika ni vizuri kuzingatia vyakula vinavyoweza kukuongezea stamina na kujenga mwili wako vizuri na kukupa uwezo wa kufanya mapenzi vizuri zaidi bila kutumia "booster". Vyakula ni suluhishi maridhawa na asilia kwenye kila kitu maishani mwako. Sababu za kukosa nguvu za kiume Ili kutatua tatizo ni muhimu kung’oa kabisa mzizi wake. Mwili wako una maarifa ya kujirekebisha pasipo kuhitaji vilevi au mawada, unachotakiwa kuzingatia ni chakul...

MJUE TENA MKWAWA SHUJAA

Image
Faham  eneo alipozikwa Mkwawa eneo ambalo tarehe 4 Januari mwaka 1999 Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alizindua Mara wa Kumbukumbu ya miaka 100 ya kifo cha Mkwawa (1898-1998) Mkwawa alikuwa mtoto wa Mtemi Munyigumba mama yake Mkwawa aliitwa Sengimba kutoka uzao wa mtemi wa Ilole mjukuu wa Sekindole. Mkwawa aliamua Kalenga ikiwa kando ya Mto Ruaha kuwa Makao Makuu ya Himaya yake yakiwa na Makazi Rasmi na Kituo cha Kijeshi Kwa mujibu wa kamanda wa Kijerumani Ernst Nigmann (mwaka 1920 alikuwa na cheo Kanali) katika kitabu chake “Die Wahehe” Mkwawa alitawala kutoka Uhehe akisaidiwa na watawala aliowateua wakiitwa Vangazila wakiwa na mamlaka yote ya utawala huku wakimfahamisha Mtemi Mkwawa taarifa muhimu wakikusanya watu katika vita na shughuli za kijamii, vijana waliofunzwa kwa ajili ya vita waliitwa Vigendo, washauri wa mtemi masuala ya kiutawala waliitwa Vitambule, wapelelezi waliitwa Vatandisi, kikosi maalum cha kuwasaka maadui waliotoroka kiliitwa Vandagandaga, kikosi cha mapigano...

GAZETI LA BINGWA LEO

Image